VIDEO: Mbunge wa Kinondoni "Mtulia" atoa zawadi ya Eid kwa walemavu


Kuna msemo ambao unasema, 'Kutoa ni moyo na sio utajiri" Jumapili hii Mbunge wa jimbo la Kinondoni Maulid Mtulia ametoa zawadi ya mchele kwa walemavu kwa ajili ya sikukuu ya Eid al-Hajj ambayo itasherehekewa Jumatatu ya Agosti 12, 2019.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE