VIDEO: Mvutano mkali waibuka kesi ya Tundu Lissu, familia yakaa Mahakamani hadi usiku


Wakili Allute Maghai Lissu amesema maombi yaliyopelekwa Mahakama kuu kanda ya Dar es salaam ya kutetea ubunge wa ndugu yake amabye pia ni Mwanasheria mkuu wa Chadema, Tundu Lissu sio ya hovyo na ndio maana Serikali imeleta mawakili zaidi ya 15.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items