VIDEO: Utata waibuka Manispaa na maafisa wa ardhi wa Wizara, Waziri Lukuvi aombwa kuingilia kati

Baraza la Madiwani Manispaa ya Kinondoni limemuomba Waziri wa Ardhi, Nyumba, Maendeleo na Makazi, William Lukuvi kukomesha tabia iliyoanzishwa na maafisa kutoka wizara hiyo kwa kitendo kinachodaiwa kuwa ni muingiliano wa majukumu kati ya Manispaa ya hiyo na Maafisa wa ardhi kutoka Wizara hiyo,

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE