Wachezaji Ally Salim na Yahya Mbegu wajumuishwa timu ya Taifa U20
byMuungwana Blog 2-
0
Wachezaji Ally Salim na Yahya Mbegu wametajwa kuwa sehemu ya kikosi cha timu ya Taifa U20 ambao wataingia kambini kujiandaa na mashindano ya CECAFA U20 yatakayofanyika mwezi Septemba nchini Uganda.