Hispania yatwaa Ubingwa wa Kombe la Dunia la Kikapu 2019


Timu ya Taifa Hispania imeshinda ubingwa wa Kombe la Dunia la Kikapu 2019 baada ya kuifunga Argentina kwa pointi 95-75 katika mchezo wa fainali leo huko nchini China.

Hii ni mara ya pili Hispania wanashinda ubingwa huo, mara ya kwanza ilikuwa mwaka 2006.