Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Meja Jenerali, Jacob Kingu akipokelewa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro baada ya kuwasili katika Shule ya Polisi Moshi alipoudhulia hafla ya kupokea Uwanja wa Mafunzo ya Askari uliojengwa na Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano. (Picha na Jeshi la Polisi).
Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye ambaye ni mgeni rasmi akiwasili katika ufunguzi wa Uwanja wa Mafunzo ya Askari katika Shule ya Polisi Moshi na kulia kwake ni Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Meja Jenerali, Jacob Kingu na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro alie mkoni wa kushoto wa mgeni rasim (Picha na Jeshi la Polisi).