VIDEO: Kocha wa Simba akasirishwa na wachezaji wake/ Atoa neno kwa bosi mpya Senzo Mazingiza


Kocha wa klabu ya Simbva SC, Patrick Aussems ameonyesha kutofurahishwa na wachezaji wake kukosa magoli kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara dhidi ya Mtibwa Sugar ambao wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE