VIDEO: Mazoezi ya Zesco yatikisa Taifa, Kamusoko na Mjapani wapagawisha kabisa


Klabu ya soka ya Zesco ya Zambia imefanya mazoezi yake ya mwisho Ijumaa hii katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kabla ya kucheza mchezo wao wa klabu bingwa dhidi ya Yanga Jumamosi hii.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE