VIDEO: Mchambuzi wa siasa aliyetua afrika kusini utawala wa mandela afichua siri vurugu na mauaji


Mchambuzi wa siasa za ndani na nje ya nchini, Cahrles Kayeko amesema vurugu na mauaji yaliyotokea nchini Afrika kusini inapaswa kuwaonea huruma wananchi wa nchi hiyo kutokana na ukosefu wa ajira na mfumo mzima wa maisha uliopo.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE