Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, leo wakati akihitimisha shughuri za bunge, amezipongeza timu za Tanzania ambazo zimefanikiwa kusonga mbele kwenye kombe la klabu bingwa Afrika na kombe la shirikisho, vilabu hivyo ni Yanga, Azam na Malindi ya Zanzibar.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE