Waziri Lugola atoa pole kwa mkuu wa majeshi nchini

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto) akimpa pole Mkuu wa Majeshi nchini, Jenerali Venance Mabeyo, wakati alipokwenda kuhani msiba wa mtoto wa Mkuu wa Majeshi, Nelson Mabeyo, Msasani jijini Dar es Salaam, leo Septemba 24, 2019. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto) akisaini kitabu cha maombolezo ya kmifo cha Nelson Mabeyo, mtoto wa Mkuu wa Majeshi nchini, Jenerali Venance Mabeyo, nyumbani kwa Mkuu wa Majeshi, Msasani jijini Dar es Salaam, leo Septemba 24, 2019. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto) akizungumza na Mkuu wa Majeshi nchini, Jenerali Venance Mabeyo, wakati alipokwenda nyumbani kwa Mkuu wa Majeshi, Msasani jijini Dar es Salaam, leo Septemba 24, 2019, kuhani msiba wa mtoto wa Mkuu wa Majeshi, Nelson Mabeyo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto) akizungumza na Mwanasiasa Mkongwe na aliyewahi kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Prof. Philemon Sarungi, wakati walipokwenda nyumbani kwa Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venace Mabeyo, Msasani jijini Dar es Salaam, leo Septemba 24, 2019, walipokwenda kuhani msiba wa mtoto wa Mkuu wa Majeshi, Nelson Mabeyo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia) akizungumza na Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali Robert Mboma, nyumbani kwa Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo, Msasani jijini Dar es Salaam, leo Septemba 24, 2019, walipokwenda kuhani msiba wa mtoto wa Mkuu wa Majeshi, Nelson Mabeyo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.