Rais wa Uturuki atarajia kukutana na Trump Novemba

Rais wa Uturuki Recep Tayyıp ErdoÄŸan ataraji kukutana na  rais wa Marekani Donald Trump  mjini Washington  ifikapo Novemba.

Rais ErdoÄŸan amezungumza  na rais Trump kwa njia ya simu  Jumapili kuhusu eneo salama nchini Syria.

Viongozi hao wamejadili uwezekano wa kuundwa eneo salama  Mashariki mwa Frati nchini Syria.

Kuhusu suala  hilo rais ErdoÄŸan atajielekeza nchini Marekani kuzungumza na rais Trump  ifikapo Novemba.

Katika mazungumzo yao hayo kwa njia ya simu, rais ErdoÄŸan amesema kuwa eneo salama nchini Syria ni kwa ajili ya kuondoa vitisho vya wanamgambo wa kundi la YPG/PKK.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items