Singida United wamtangaza kocha mpya


Klabu ya Singida United imemtangaza Ramadhan Nsanzurwimo kuwa kocha wake mkuu akichukua nafasi ya Fred Felix Minziro. Nsanzurwimo raia wa Burundi alikuwa akiinoa Mbeya City msimu uliopita.


Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia