Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limemfungia msanii wa Bongo Fleva nchini Tanzania, Rosa Ree kutojihusisha na muziki kwa miezi sita.
Hii ni kutokana na video ya wimbo wa Vitamin U aliyoshirikishwa na msanii Timmy Tdat wa Kenya kutokuwa na maadili na tayari video hiyo imeondolewa kwenye mtandao wa YouTube.
Picha chini ni Timmy Tdat na Rosa Ree.

