Joao Felix ampiku Jadon Sancho katika tuzo ya Golden Boy 2019

Mchezaji Kinda wa Atletico Madrid na timu ya Taifa ya Ureno Joao Felix ameshinda tuzo ya Golden Boy 2019 baada ya kuwapiku Makinda wengine 18 wakiwemo Jadon Sancho (England & Borussia Dortmund) na Kai Havertz (Ujerumani & Bayer Leverkusen) ambao walikuwa wakimfuata kwa ukaribu.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items