Matokeo ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo

 Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara imeendelea leo kwenye viwanja vitatu tofauti na haya ndio matokeo ya michezo hayo, ambapo mechi ya Azam FC dhidi ya Biashara United inatarajia kuanza saa moja usiku huu.