VIDEO: BREAKING NEWS: ACT Wazalendo wajitoa uchaguzi, Zitto atoa kauli nzito ''Tusilaumiane''


Chama cha ACT Wazalendo leo Novemba 8 kupitia kwa kiongozi wake mkuu, Zitto Kabwe kimetangaza kujitoa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika mwishoni mwa mwezi huu.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....... USISAHAU KUSUBSCRIBE

Mpya zaidi Nzee zaidi