“Hakuna kuweka mpira kwapani, tunaishukuru serikali kwa kuwa na msimamo,” amesema Humphrey Polepole, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM wakati akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 13 Novemba 2019, jijini Dar es Salaam.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE