VIDEO: Kardinali Pengo avunja ukimya mbele ya Makonda ''wanasema Rais Magufuli ni dikteta''


Leo November 18, 2019 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, anakutana na viongozi wa madhehebu mbalimbali na taasisi za dini ili kuzungumza nao kuhusu mambo ambayo yamefanywa na yanaendelea kufanywa na serikali ya awamu ya Tano.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE