VIDEO: Waziri wa elimu atoa maamuzi mazito VETA


Waziri wa elimu sayansi na teknolojia mh, Joyce Ndalichako amesikitishwa na matumizi mabaya ya fedha zilizotolewa kwa ajiri ya miundo mbinu ya elimu katika vyuo mbali mbali vya veta mkoani Kagera kwa ujenzi uliopo chini ya kiwango na fedha walizopewa na serikali kupitia wizara ya elimu

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KU SUBSCRIBE

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items