Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Edward Lowasa, amesema upo umuhimu wa Serikali,kuweka mipango, inayolenga kuwasaidia watu wanaoishi mazingira magumu hususani vijijini kwa kuwawezesha ili kukabiliana na changamoto mbalimbali,ikiwemo hali duni za kimaisha
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE