Breaking News: Baraza la Madiwani lamuondoa madarakani meya wa Jiji


Baraza la madiwani Dar es Salaam limemuondoa madarakani meya wa jiji la Dar Mh. Isaya Mwita kutokana na tuhuma zilizokuwa zinamkabili.

Muungwana blog itaendelea kukupatia taarifa hizo tafazari endelea kuwa nasi