BREAKING NEWS: MFALME WA OMAN AFARIKI DUNIA

Sultani wa Oman Qaboos bin Said amefariki dunia leo akiwa na umri wa miaka 79.

Qaboos aliingia madarakani baada ya kumpindua baba yake mwaka 1970 na anasifiwa kwa kuwezesha mageuzi ya uchumi nchini Oman.

Sultani Qaboos hakuwa na mrithi wa kiti chake anayejulikana hadharani.