VIDEO: Isaya Mwita amwangukia Rais Magufuli ''mimi bado ni meya wa Dar', anyang'anywa gari


Aliyekuwa Meya wa jiji la Dar es salaam Isaya Mwita amefunguka mazito baada ya baada ya kung'olewa kwenye nafasi hiyo ambapo amesema mpaka sasa yeye bado ni Meya huku akimuomba Rais Magufuli kuingilia sakata hilo.

TAZAMA FULL HAPA CHINI........USISAHAU KUSUBSCRIBE