VIDEO: Kamati ya hesabu ya serikali yasimama kidete


Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeitaka Halmashauri ya Jiji la Dodoma kusimamia kikamilifu fedha za asilimia kumi 10% ya Mikopo inayotolewa na Halmashauri hiyo kwa makundi Maalamu kwani wamebaini kuwa fedha hizo kutolewa katika vikundi maalumu lakini hazina usimamizi mzuri

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KU SUBSCRIBE

Mpya zaidi Nzee zaidi