Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Eng. Stellah Manyanya, amesema endapo taasisi zinazofanya utafiti na zinazobuni na kutekeleza technolojia rahisi hapa nchini zitawezeshwa kifedha basi tutafikia lengo la kuwa na viwanda na kufikia uchumi wa Viwanda.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE
