Mwili wa Mwanafunzi wa kiume (10) aliekuwa akisoma darasa la nne katika shule ya Msingi Darajani iliopo Mjini Babati mkoani Manyara anaesadikiwa kusombwa na maji wakati akiogelea kwenye mto eneo linalojulikana kama Darajani unaotiririsha Maji kuelekea Ziwa Manyara bado haujapatikana kwa siku ya tatu sasa.
Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Manyara, Kamishna msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Julishaeli Mfinanga, amewataka wananchi wawe watulivu katika kipindi wanachoendelea na utafutaji.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE