Umoja wa Waganga wa tiba asilia Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza wamemuomba Waziri wa Afya, jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu, kuwaagiza watoaji wa leseni kuwahisha, ili wapewe vibali vya kuendelea na kazi hiyo,baada ya Jeshi la polisi kutangaza oparesheni ya kuwakamata wasiokuwa leseni
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KU SUBSCRIBE