Kocha wa timu ya Azam FC ya Dar es Salaam, Aristica Cioaba amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa mwezi Januari wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu wa 2019/2020 akiwashinda wenzake wawili,Sven Vandenbroeck wa Simba na Malale Hamsini wa Polisi Tanzania alioingia nao fainali