Breaking: Sumaye arejea CCM


Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye leo Jumatatu Februari 10, 2020 ametangaza kurejea CCM katika ofisi ndogo za chama hicho zilizopo mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam

Disemba 4, 2019 alitangaza kujiondoa CHADEMA na kusema atakuwa mshauri huru wa masuala ya kisiasa.