Atakayempa ombaomba fedha kutozwa faini ya laki 200,000


Halmashauri ya Manispaa ya Ilala imetangaza kuanza msako mkali kwa ombaomba, Mkurugenzi amesema Mtu atakayekamatwa akimpa fedha ombaomba atatozwa faini ya Tsh. 200,000 au kwenda Mahakamani.