Mwandishi wa habari za uchunguzi Erick Kabendera leo Februari 24 ameachiwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam ambapo amewashukuru wote waliomuombea na kumsaidi katika kesi iliyokuwa inamkabili.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE