Klabu ya Chelsea ipo kwenye mazungumzo ya kusajili Hakim Ziyech kutoka klabu ya Ajax kwa dau la £38m.
Ziyech ni mmoja katia ya wachezaji waliopendekezwa na kocha Frank Lampard kwenye dirisha la usajili la mwezi Januari lakini Ajax walisisitiza kubaki naye hadi majira ya kiangazi.