https://monetag.com/?ref_id=TTIb Helikopta ya mizigo yaanguka nchini Urusi | Muungwana BLOG

Helikopta ya mizigo yaanguka nchini Urusi


Helikopta  moja ya mizigo yaanguka huko nchini Urusi katika eneo la Yamal Nenets. Watu 2 miongoni mwa watu 10 waliokuwamo katika helikopta hiyo wafariki dunia.

Wizara ya mambo ya dharura nchini Urusi imetoa taarifa kwamba helikopta hio aina MI-8 imemeguka vipande vipande. Miongoni mwa watu 10 walikuwamo kwenye helikopta hiyo  watu 2 wamefariki dunia.

Uchunguzi zaidi juu ya sababu zilizopelekea kuanguka kwa helikopta hiyo mali ya shirika la ndege linalofahamika kama Skol Airline, unaendelea.

Helikopta  moja ya mizigo yaanguka huko nchini Urusi katika eneo la Yamal Nenets. Watu 2 miongoni mwa watu 10 waliokuwamo katika helikopta hiyo wafariki dunia.

Wizara ya mambo ya dharura nchini Urusi imetoa taarifa kwamba helikopta hio aina MI-8 imemeguka vipande vipande. Miongoni mwa watu 10 walikuwamo kwenye helikopta hiyo  watu 2 wamefariki dunia.

Uchunguzi zaidi juu ya sababu zilizopelekea kuanguka kwa helikopta hiyo mali ya shirika la ndege linalofahamika kama Skol Airline, unaendelea.