Chama cha cha mapinduzi mkoa wa Tabora kimeitaka serilikali ya mkoa huo kutafuta utatuzi wa changamoto ya maji kukosa uelekeo na kuingia kwenye makazi ya watu hali ambayo inasababisha usumbufu kwa wananchi wa maeneo mbalimbali katika manispaa ya Tabora.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KU SUBSCRIBE