Matokeo ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo

 Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara imeendelea leo kwenye viwanja vitatu na haya ndio mataokeo ya michezo hiyo;

FT: Ndanda SC 1-1 Azam FC.

FT: Alliance FC 4-1 Mwadui FC.

FT: Tanzania Prisons 0-0 Mtibwa Sugar.


Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items