Rais wa Uturuki asema kuwa mpango wa amani wa karne wa rais wa Marekani ni tishio katika ukanda
Rais wa Uturuki asema kuwa mpango wa amani wa karne wa rais wa Marekani ni tishio katika ukanda.
Rais wa Uturuki Recep Tayyıp Erdoğan asema kwamba mpango wa amani ambao rais Trump amesema kuwa ndio mpango wa karne Mashariki ya Kati ni tishio katika ukanda.
Tunasubiri shirikisho la ushirikiano wa mataifa ya kiislamu kuandaa mkutano wa wanachama wake kwa ajili ya kuonesha msimamo wa pamoja dhidi ya mpango huo wa rais wa Marekani amesema rais ErdoÄŸan.
Hayo rais ErdoÄŸan ameyazungumza katika mkutano wake na wanahabari akiwa katika ndege kutoka nchini Pakistani ambapo alikuwa katika ziara yake rasmi.
Katika mkutano wake huo na wanahabari, rais ErdoÄŸan amesema kuwa kunasubiriwa mkutano wa mataifa ya kiislamu kufanyika ili kuchukuliwa maamuzi ya pamoja dhidi ya mpango huo wa rais wa Marekani kuhusu Mashariki ya Kati.
Mataifa ya Afrika na Umoja wa Ulaya hayakubaliani na mpango huo, msimamo huo unaonesha matumaini Umoja wa Mataifa kuhusu mpango wa Trump ameendelea kufahamisha rais ErdoÄŸan.
Rais wa Uturuki asema kuwa mpango wa amani wa karne wa rais wa Marekani ni tishio katika ukanda.
Rais wa Uturuki Recep Tayyıp Erdoğan asema kwamba mpango wa amani ambao rais Trump amesema kuwa ndio mpango wa karne Mashariki ya Kati ni tishio katika ukanda.
Tunasubiri shirikisho la ushirikiano wa mataifa ya kiislamu kuandaa mkutano wa wanachama wake kwa ajili ya kuonesha msimamo wa pamoja dhidi ya mpango huo wa rais wa Marekani amesema rais ErdoÄŸan.
Hayo rais ErdoÄŸan ameyazungumza katika mkutano wake na wanahabari akiwa katika ndege kutoka nchini Pakistani ambapo alikuwa katika ziara yake rasmi.
Katika mkutano wake huo na wanahabari, rais ErdoÄŸan amesema kuwa kunasubiriwa mkutano wa mataifa ya kiislamu kufanyika ili kuchukuliwa maamuzi ya pamoja dhidi ya mpango huo wa rais wa Marekani kuhusu Mashariki ya Kati.
Mataifa ya Afrika na Umoja wa Ulaya hayakubaliani na mpango huo, msimamo huo unaonesha matumaini Umoja wa Mataifa kuhusu mpango wa Trump ameendelea kufahamisha rais ErdoÄŸan.