Maelfu ya raia wa Uturuki waishio nchini Ujerumani wameandamana kupinga ubaguzi
Maandamano makubwa yafanyika nchini.
Ujerumani kupinga na kukemea vitendo vya kibaguzi na mashambulizi dhidi ya wageni.
Shambulizi la kigaidi limetekelewa Jumatano Hanau nchini Ujerumani.
Maelfu ya watu wamekutana Kurt-Schumacher na kuandamana kuelekea katika mnara wa Markplatz wakikemea chuku dhidi ya wageni na ugaidi.
Waandamanaji wametoka katika miji tofauti nchini Ujerumani wakishirikiana na asasi za kiraia.
Wajerumani mwenye asili tofauti pia wameshiriki katika maandamano hayo na kukemea ubaguzi.
Maandamano makubwa yafanyika nchini.
Ujerumani kupinga na kukemea vitendo vya kibaguzi na mashambulizi dhidi ya wageni.
Shambulizi la kigaidi limetekelewa Jumatano Hanau nchini Ujerumani.
Maelfu ya watu wamekutana Kurt-Schumacher na kuandamana kuelekea katika mnara wa Markplatz wakikemea chuku dhidi ya wageni na ugaidi.
Waandamanaji wametoka katika miji tofauti nchini Ujerumani wakishirikiana na asasi za kiraia.
Wajerumani mwenye asili tofauti pia wameshiriki katika maandamano hayo na kukemea ubaguzi.
