Raia wa Uturuki waandamana dhidi ya ubaguzi nchini Ujerumani

Maelfu ya raia wa Uturuki waishio nchini Ujerumani wameandamana kupinga ubaguzi
Maandamano makubwa yafanyika nchini.

Ujerumani kupinga   na kukemea  vitendo vya kibaguzi na mashambulizi   dhidi ya wageni.
Shambulizi la kigaidi  limetekelewa Jumatano Hanau nchini Ujerumani.

Maelfu ya watu wamekutana Kurt-Schumacher na kuandamana kuelekea  katika mnara wa Markplatz wakikemea  chuku dhidi ya wageni na ugaidi.

Waandamanaji wametoka katika miji tofauti nchini Ujerumani  wakishirikiana na asasi za kiraia.

Wajerumani  mwenye asili tofauti  pia wameshiriki  katika maandamano hayo na kukemea ubaguzi.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items