VIDEO: Baadhi ya manabii wafananishwa na waganga wa kienyeji,kiongozi wa dini aongea


Kiongozi wa Dini Kutoka Mkoani Njombe Aldo Sanga amesema kuwa baadhi ya watu wanaojiita manabii ikiwemo Komando Mashimo ni sawa na waganga wa kienyeji kwasababu  unabii unatakiwa kutolewa kabla ya Kutokea Siyo baada ya Kutokea hivyo wanadanganya watu huku akimpa na mifano ya maandiko

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KU SUBSCRIBE

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items