Luc Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa bado anaumiza kichwa kuitambua falsafa ya mshambuliaji wake Yikpe ndani ya kikosi chake ili kujua hatma yake ndani ya kikosi.
Amekuwa akifunga mabao ambayo hayafurahishi kuyatazama kwani hana mbinu mpya zaidi ya ile ambayo ameizoea siku zote kufunga kwa vichwa, kwangu mimi sitazami aina ya ufungaji bali jitihada zake za kuipa ushindi timu
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KU SUBSCRIBE
