Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Wanawake U17 wakijiandaa na mchezo wa kufuzu kombe la Dunia
byMuungwana Blog 2-
0
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Wanawake U17 wakiendelea na mazoezi kujiandaa na mchezo wa kufuzu kombe la Dunia dhidi ya Uganda utakaochezwa Machi 1,2020 Kwenye Uwanja wa Taifa.