Operesheni dhid ya magaidi Kaskazini mwa Irak

Magaidi wawili wauawa katika opersheni Kaskazini mwa Irak, Jeshi la Uturuki lawaangamiza magaidi wawili wa kundi la PKK katika operesheni ilioemdeshwa Kaskazini mwa Irak.

Jeshi la anga limeshirikiana na jeshi la ardhini  kuwashambulia magaidi wa kundi la PKK na kuwaangamiza magaidi hao.

Taarifa iliotolewa  na wizara ya ulinzi ya Uturuki imefahmisha  kuwa operesheni kali imeendeshwa  katika kitongoji cha Zap Kaskazini mwa Irak.

Katika taarifa hiyo  imefahamishwa kuwa magaidi wawili wa PKK wameangamizwa  katika operesheni ya anga .

Operesheni dhidi ya ngome za magaidi mipakani mwa Uturuki zitaendelea  imefahamisha wizara ya ulinzi ya Uturuki.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items