VIDEO: Reli inayounganisha mkoa wa Katavi na Tabora yasombwa na maji


Kufuatiwa mvua zinazo endelea kunyesha mkoani tabora zimesababisha wakazi wa tabora kwenda mpanda   kushindwa kusafiri kwa kutumia treni kutokana na njia hiyo kuhalibiwa vibaya na mto ugara ulio mpakani mwa tabora na katavi.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items