Nyumbani Vifo vya corona Kenya vyafikia 14 byMuungwana Blog 5 -4/20/2020 11:00:00 AM 0 Wizara ya Afya Kenya imesema wagonjwa wengine wawili wa corona wamefariki Dunia na kufanya jumla ya waliofariki kwa corona Kenya kufikia 14, wagonjwa wengine saba wamepona na inafanya idadi ya wagonjwa wa corona waliopona Kenya kufikia 67. Facebook Twitter