Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 5,2 katika kipimo cha Richter nchini Japan.
Nchini Japan kumeripotiwa tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 5,2 katika kipimo cha Richter katika mji wa Miyagi.
Tetemeko hilo limesikika katika umbali wa kilomita 50 na mji wa Miyagi.
Taasisi inayohusika na utafiti wa ardhi na tetemeko nchini Japan imesema kuwa hakuna uhatari wa wimbi kubwa la Tsunami kufuatia tetemeko hilo katika fukwe za Japani.
Tetemeko hilo limetokea majira ya usiku.
Nchini Japan kumeripotiwa tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 5,2 katika kipimo cha Richter katika mji wa Miyagi.
Tetemeko hilo limesikika katika umbali wa kilomita 50 na mji wa Miyagi.
Taasisi inayohusika na utafiti wa ardhi na tetemeko nchini Japan imesema kuwa hakuna uhatari wa wimbi kubwa la Tsunami kufuatia tetemeko hilo katika fukwe za Japani.
Tetemeko hilo limetokea majira ya usiku.
