Tetemeko lenye ukubwa wa 5,2 katika kipimo cha Richter nchini Japan.
Tetemeko la ardhi lenye ukbwa wa 5,2 katika kipimo cha Richter laripotiwa kutokea nchini Japan.
Taarifa hiyo kuhusu tetemeko imetolewa na kitengo cha utafiti wa ardhi nchini humo.
Kitengo hicho kimesema kwamba tetemeko hilo limetokea katika kisiwa cha Honshu na kusikika hadi katika umbali wa kilomita 10 na eneo la Gifu.
Tetemeko hilo limetokea saa moja usiku majira ya Honshu.
Taarifa zinasema kuwa hakuna tishio la wimbi kubwa la Tsunami baada ya tetemeko hilo.
Tetemeko la ardhi lenye ukbwa wa 5,2 katika kipimo cha Richter laripotiwa kutokea nchini Japan.
Taarifa hiyo kuhusu tetemeko imetolewa na kitengo cha utafiti wa ardhi nchini humo.
Kitengo hicho kimesema kwamba tetemeko hilo limetokea katika kisiwa cha Honshu na kusikika hadi katika umbali wa kilomita 10 na eneo la Gifu.
Tetemeko hilo limetokea saa moja usiku majira ya Honshu.
Taarifa zinasema kuwa hakuna tishio la wimbi kubwa la Tsunami baada ya tetemeko hilo.
