Rais Recep Tayyıp Erdoğan akemea vikali kitendo kisichokuwa cha kibinadamu kilichosababisha kifo cha George Floyd.
Rais wa Uturuki Recep Tayyıp Erdoğan amekemea vikali kitendo cha kinyama kilichopelekea kifocha mmarekani mweusi George Floyd kwa kukandamizwa kwa goti shingoni hadi kukata roho.
Rais Erdoğan ameuzunishwa na kifo cha mmarekani huyo mweusi mikono mwa maafisa wa usalama ambao ilitakiwa kuwa kimbilio.
Katika ujumbe wake aliotoa kipiti aukurasa wake katika mtandao wa kijamii wa Twitter, rais Erdoğan ameonesha msimamo wake kufuati kuaawa kwa George Floyd na afisa wa jeshi la Polisi.
Kifo cha Floyd kwa kukandamizwa ni kitendo kinachostahili kukemewa, kitendo hicho kimetokea Minneapolis Marekani kinaskitisha mno, kifo hicho kimepelekea maandamano licha ya harakati za usawa wa haki kwa kipindi cha miaka mingi.
Katika ujumbe wake huo rais Erdoğan amekumbusha ujumbe wa uislamu katika utamduni wake na maagizo kutoka kwa mwenyezi mungu kuwa binadamu anahimizwa kuheshimu nafsi ya binadamu na kiumbe chochote kile na Uturuki kila siku itaendelea kupinga ukiukwaji wa haki .
Hakuna mtu aliebora kuliko mwingine, mweusi sio bora mbele ya mzungu na mzungu sio bora kuliko mweusi ameendelea kusema rais Erdoğan.
George Floyd amefariki baada ya kukamandamizwa na goti na afisa wa jeshi la jeshi la Polisi , kitendo hicho kimerikodiwa kwa kutumia simu ya mkononi na kurushwa moja kwa moja katika ukurasa mtandoa wa Facebook.
Tukio hilo limepelekea maandamano makubwa Minneapolis na kusababisha uharibifu.
George Floyd amefariki akiwa na umri wa miaka 46.
Rais wa Uturuki Recep Tayyıp Erdoğan amekemea vikali kitendo cha kinyama kilichopelekea kifocha mmarekani mweusi George Floyd kwa kukandamizwa kwa goti shingoni hadi kukata roho.
Rais Erdoğan ameuzunishwa na kifo cha mmarekani huyo mweusi mikono mwa maafisa wa usalama ambao ilitakiwa kuwa kimbilio.
Katika ujumbe wake aliotoa kipiti aukurasa wake katika mtandao wa kijamii wa Twitter, rais Erdoğan ameonesha msimamo wake kufuati kuaawa kwa George Floyd na afisa wa jeshi la Polisi.
Kifo cha Floyd kwa kukandamizwa ni kitendo kinachostahili kukemewa, kitendo hicho kimetokea Minneapolis Marekani kinaskitisha mno, kifo hicho kimepelekea maandamano licha ya harakati za usawa wa haki kwa kipindi cha miaka mingi.
Katika ujumbe wake huo rais Erdoğan amekumbusha ujumbe wa uislamu katika utamduni wake na maagizo kutoka kwa mwenyezi mungu kuwa binadamu anahimizwa kuheshimu nafsi ya binadamu na kiumbe chochote kile na Uturuki kila siku itaendelea kupinga ukiukwaji wa haki .
Hakuna mtu aliebora kuliko mwingine, mweusi sio bora mbele ya mzungu na mzungu sio bora kuliko mweusi ameendelea kusema rais Erdoğan.
George Floyd amefariki baada ya kukamandamizwa na goti na afisa wa jeshi la jeshi la Polisi , kitendo hicho kimerikodiwa kwa kutumia simu ya mkononi na kurushwa moja kwa moja katika ukurasa mtandoa wa Facebook.
Tukio hilo limepelekea maandamano makubwa Minneapolis na kusababisha uharibifu.
George Floyd amefariki akiwa na umri wa miaka 46.
