“Sijaona umuhimu wa kufunga mipaka, juzi nimezungumza na Rais Museveni ametuuzia Tani za sukari Elfu 26, tungefunga mipaka tungepata hiyo sukari ya Uganda? , unakuta Dereva anazuiliwa sijui kwenda wapi? Wakati ametoka DSM hadi huko ametembea KM Elfu moja na kitu hajaanguka!” -JPM