Shirika la kutoa misaada katika makito ya dharura la Uturuki TİKA na ushirikiano wa kimataifa limetoa msaada wa vifaa vya matibabu nchini Afghanistani katika jitihada za kupamba na virusi vya corona nchini Afghanistani.
Makama wa waziri wa afya wa Afghanistani Walid Mejruh amefahamisha kuwa amepokea msaada wa vifaa vya matibabu kutoka Uturuki kwa moyo mkunjufu kwa kuwa Uturuki imeikumbuka Afghanistani katika kipindi hiki kigumu cha kupambana na maaambukizi ya virusi vya corona.
Katika hafla ya kukabidhi msaada huo, Walid amempongeza mratibu wa TİKA Zühtü Çal ambae ameonekana pia kuwa mwenye furaha kwa mapokezi .
Vifaa vilivyotolewa ni pamoja na vifaa vya kupumlia na vifaa vingine muhimu katika vituo vya afya na hospitali.
Makama wa waziri wa afya wa Afghanistani Walid Mejruh amefahamisha kuwa amepokea msaada wa vifaa vya matibabu kutoka Uturuki kwa moyo mkunjufu kwa kuwa Uturuki imeikumbuka Afghanistani katika kipindi hiki kigumu cha kupambana na maaambukizi ya virusi vya corona.
Katika hafla ya kukabidhi msaada huo, Walid amempongeza mratibu wa TİKA Zühtü Çal ambae ameonekana pia kuwa mwenye furaha kwa mapokezi .
Vifaa vilivyotolewa ni pamoja na vifaa vya kupumlia na vifaa vingine muhimu katika vituo vya afya na hospitali.
