Watu 11 wameripotiwa kufariki katika mlipuk uliotokea katika jumba moja mjini Los Angeles.
Taarifa zilizotolewa na "Zima Moto" zimefahamisha kuwa sababu zilizopelekea moto huo bado hazijajulikana.
Watu 11 ndio ambao wameripotiwa kufariki katika mlipuko huo ambao bado sababu zilizopelekea tukio hilo bado hazijafahamka.
Maafisa watatu wa kikosi cha Zima Moto wamejeruhiwa vikali katika tukio hilo na kupelekwa hospitali.
Moto huo umezimwa na kikosi cha maafisa 230 wa Zima Moto, Uchunguzi umeanzishwa kubaini chanzo cha mlipuko huo.
Taarifa zilizotolewa na "Zima Moto" zimefahamisha kuwa sababu zilizopelekea moto huo bado hazijajulikana.
Watu 11 ndio ambao wameripotiwa kufariki katika mlipuko huo ambao bado sababu zilizopelekea tukio hilo bado hazijafahamka.
Maafisa watatu wa kikosi cha Zima Moto wamejeruhiwa vikali katika tukio hilo na kupelekwa hospitali.
Moto huo umezimwa na kikosi cha maafisa 230 wa Zima Moto, Uchunguzi umeanzishwa kubaini chanzo cha mlipuko huo.
